Kesho Wakati Kama Huu

KSh265.00

Book:ebook

Facebook
Twitter
LinkedIn

Kesho Wakati Kama Huu

Description

NGUGI WA THIONG’O alizaliwa mwaka wa1938 Limuru, na alisomea Kenya na Chuo Kikuu cha Makerere huko Uganda, na baadaye akaingia Chuo Kikuu cha Leeds, Uingereza.

Alipokuwa Makerere, aliandika hadithi hizi: Weep Not, Child na The River Between. Alipokuwa chuo kikuu huko Leeds, aliandika hadithi ya A Grain of Wheat.

The Trial of Dedan Kimathi (Mashtaka ya Oedan Kimathi) ni moja katika maandishi yake mapya ambayo ameyaandika pamoja na Dr. Micere Mugo. The Trial of Dedan Kimathi ulikuwa mchezo wa mwaka katika mwaka 1976.

Ngugi wa Thiong’o sasa ni mwenyekiti katika Taasisi ya uandishi (Literature Department) ya Chuo Kikuu cha Nairobi

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Kesho Wakati Kama Huu”

Your email address will not be published. Required fields are marked *