Mzimu Wa Watu Wa Kale

KSh304.00

Book:ebook

Facebook
Twitter
LinkedIn

Mzimu Wa Watu Wa Kale

Description

Mzimu wa Watu wa Kale ni hadithi ya upelelezi ya kusisimua. Katika hadithi hii Bwana Ali apatikana katika mzimu wa watu wa kale akiwa ameuawa.

Je, nini asili ya mzimu huu wa watu wa kale? Ni nani aliyemwua Bwana Ali na kwa nini? Je, Bwana Msa na Spekta Seif watapambanua chanzo cha kuuwawa kwa Bwana Ali? Endelea kusoma kisa hiki uburudike na jicho la upelelezi la Bwana Msa, maswali ya kudadisi ya Najum na uhodari wa Spekta Seif kwa kutatua kesi hii.

Additional information

License

3 year Licence

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Mzimu Wa Watu Wa Kale”

Your email address will not be published. Required fields are marked *