Description
Mzee Jacob anakufa kutokana na sigara iliyotiwa sumu… Siku chache baadaye, bintiye Mary anapigwa risasi… Fambo anamjulisha lnspekta Wingo kuhusu vifo hivi. Lakini ni nani huyu Fambo? Kuna uhusiano wowote baina ya vifo hivi na Fambo?
Simu ya Kifo ni kisa cha upelelezi ambacho taharuki iliyomo itamtia msomaji kiwewe na ari ya kufika hatima!
Reviews
There are no reviews yet.