Utamu Wa Lugha Kitabu Cha Pili

Katika mkusanyika wa mashairi katika kitabu hiki Bi-Uvetie amefuata mtindo aliyotumia katika cha kwanza, UTAMU WA LUGHA (KLB 1976).

Bi-Uvetie ameandika juu ya vipenngee vya Maisha vilivyo katika mazingara yetu, mifano ikiwa siasi, elimu, mapenzi, dini na kadhalika. Mkusanyiko huu una mashairi mepesi nay a kufahamika kwa urahisi.

Bi Uvatie alizaliwa Meru-Arusha Tanzania katika Kijiji cha Nkure kata ya Nkoaranga. Ameolewa n ani raia mtumishi wa Serikali ya Kenya.

KSh360.00

Book:ebook

Facebook
Twitter
LinkedIn

Utamu Wa Lugha Kitabu Cha Pili

Description

Katika mkusanyika wa mashairi katika kitabu hiki Bi-Uvetie amefuata mtindo aliyotumia katika cha kwanza, UTAMU WA LUGHA (KLB 1976).

Bi-Uvetie ameandika juu ya vipenngee vya Maisha vilivyo katika mazingara yetu, mifano ikiwa siasi, elimu, mapenzi, dini na kadhalika. Mkusanyiko huu una mashairi mepesi nay a kufahamika kwa urahisi.

Bi Uvatie alizaliwa Meru-Arusha Tanzania katika Kijiji cha Nkure kata ya Nkoaranga. Ameolewa n ani raia mtumishi wa Serikali ya Kenya.

Additional information

License

3 year Licence

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Utamu Wa Lugha Kitabu Cha Pili”

Your email address will not be published. Required fields are marked *